Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 23:28 - Swahili Revised Union Version

28 na Salmoni, Mwahohi, na Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Salmoni Mwahohi; Maharai Mnetofathi;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 na Salmoni, Mwahohi, na Maharai, Mnetofathi;

Tazama sura Nakili




2 Samueli 23:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha, wakuu wote wa majeshi, wao na watu wao, waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemweka Gedalia kuwa mtawala, wakamwendea Gedalia huko Mispa; nao ni hawa, Ishmaeli mwana wa Nethania, na Yohana mwana wa Karea, na Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofa, na Yezania mwana wa Mmaaka, wao na watu wao.


Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathi;


Kamanda wa kumi wa mwezi wa kumi alikuwa Maharai, Mnetofathi, wa Wazera; na katika zamu yake walikuwa watu elfu ishirini na nne.


na Abishua, na Naamani, na Ahoa;


Watu wa Netofa, hamsini na sita.


Watu wa Bethlehemu na Netofa, mia moja na themanini na wanane.


ndipo wakamwendea Gedalia huko Mizpa; nao ni hawa, Ishmaeli, mwana wa Nethania, na Yohana na Yonathani, wana wa Karea, na Seraya, mwana wa Tanhumethi, na wana wa Efai, Mnetofa, na Yezania, mwana wa Mmaaka, wao na watu wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo