Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 23:27 - Swahili Revised Union Version

na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Abiezeri, Mwanathothi; Mebunai, Mhushathi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Abiezeri, Mwanathothi; Mebunai, Mhushathi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Abiezeri, Mwanathothi; Mebunai, Mhushathi;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Abiezeri kutoka Anathothi; Mebunai Mhushathi;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Abiezeri kutoka Anathothi; Mebunai, Mhushathi;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 23:27
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa baada ya hayo, kulikuwa na vita tena na Wafilisti huko Gobu; ndipo Sibekai, Mhushathi, alipomwua Safu, aliyekuwa mmoja wa Warefai.


akasema, Mungu wangu apishe mbali, nisifanye hivi; je! Ninywe damu ya watu hao waliohatarisha nafsi zao? Maana kwa hatari ya nafsi zao wameyaleta. Kwa hiyo hakukubali kuyanywa. Hayo ndiyo waliyoyafanya wale mashujaa watatu.


Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abiezeri Mwanathothi;


Kamanda wa tisa wa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri, Mwanathothi, wa Wabenyamini; na katika zamu yake walikuwa watu elfu ishirini na nne.


na Anathothi pamoja na mbuga zake za malisho, na Almoni pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.