Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 21:18 - Swahili Revised Union Version

18 na Anathothi pamoja na mbuga zake za malisho, na Almoni pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Anathothi pamoja na mbuga zake za malisho, Almoni pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla ya miji waliyopewa ni minne.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Anathothi pamoja na mbuga zake za malisho, Almoni pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla ya miji waliyopewa ni minne.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Anathothi pamoja na mbuga zake za malisho, Almoni pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla ya miji waliyopewa ni minne.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Anathothi na Almoni, pamoja na maeneo ya malisho ya kila mji: miji minne.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 na Anathothi pamoja na mbuga zake za malisho, na Almoni pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.

Tazama sura Nakili




Yoshua 21:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;


Tena, mfalme akamwambia Abiathari kuhani, Nenda Anathothi mashambani kwako; kwa kuwa wastahili kufa; ila leo sikuui, kwa sababu wewe ulichukua sanduku la Bwana mbele ya Daudi baba yangu, na kwa sababu wewe uliteswa kwa mateso yote ya baba yangu.


tena katika kabila la Benyamini; Geba pamoja na viunga vyake, na Alemethi pamoja na viunga vyake, na Anathothi pamoja na viunga vyake. Miji yao yote katika jamaa zao ilikuwa miji kumi na mitatu.


Anathothi, Nobu, Anania;


Piga kelele sana, Ee binti Galimu; sikiliza, Ee Laisha; ole wako, maskini Anathothi!


Maneno ya Yeremia, mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani waliokuwa katika Anathothi, katika nchi ya Benyamini;


Tena katika kabila la Benyamini, Gibeoni pamoja na mbuga zake za malisho, na Geba pamoja na mbuga zake za malisho;


Miji yote ya wana wa Haruni, makuhani, ilikuwa ni miji kumi na mitatu, pamoja na mbuga zake za malisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo