Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:48 - Swahili Revised Union Version

Naam, Mungu anilipiziaye kisasi, Na kuwatweza watu chini yangu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye ameniwezesha kulipiza kisasi na kuyatiisha mataifa chini yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye ameniwezesha kulipiza kisasi na kuyatiisha mataifa chini yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye ameniwezesha kulipiza kisasi na kuyatiisha mataifa chini yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi, ayawekaye mataifa chini yangu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi, ayawekaye mataifa chini yangu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naam, Mungu anilipiziaye kisasi, Na kuwatweza watu chini yangu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:48
11 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Ahimaasi, mwana wa Sadoki, akasema, Niende mbio sasa, nikampelekee mfalme habari, jinsi BWANA alivyomlipiza kisasi juu ya adui zake.


Na tazama, yule Mkushi akafika; Mkushi akasema, Nina habari kwa bwana wangu mfalme; kwa maana BWANA amekulipizia kisasi leo juu ya hao wote walioinuka kupigana nawe.


Wakamletea Daudi kichwa cha Ishboshethi huko Hebroni, wakamwambia mfalme, Tazama, hiki ni kichwa cha Ishboshethi, mwana wa Sauli, adui yako, aliyekutafuta roho yako; BWANA amemlipia kisasi bwana wangu mfalme hivi leo, juu ya Sauli, na juu ya wazao wake.


Neno la BWANA kwa Bwana wangu, Uketi upande wangu wa kulia, Hadi niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Mwamba wangu na ngome yangu, Nguzo yangu na mwokozi wangu Ngao yangu ninayemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.


Ee BWANA, Mungu wa kisasi, Mungu wa kisasi, uangaze,


Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke adui zake wote chini ya miguu yake.


Kisasi ni changu mimi, na kulipa, Wakati itakapoteleza miguu yao; Maana siku ya msiba wao imekaribia, Na mambo yatakayowapata yatafanya haraka.


BWANA atuamue, mimi na wewe, na BWANA anilipizie kisasi changu kwako; lakini mkono wangu hautakuwa juu yako.


Tena itakuwa, hapo BWANA atakapokuwa amemtendea bwana wangu sawasawa na mema yote aliyoyanena juu yako, na kukutawaza juu ya Israeli;


Naye Daudi aliposikia ya kwamba Nabali amekufa, alisema, Na ahimidiwe BWANA ambaye amenitetea teto la shutumu langu mkononi mwa Nabali, na kumzuia mtumishi wake asitende maovu; tena uovu wake Nabali BWANA amemrudishia juu ya kichwa chake mwenyewe. Kisha Daudi akatuma watu, akamposa Abigaili ili amwoe.