2 Samueli 18:19 - Swahili Revised Union Version19 Basi Ahimaasi, mwana wa Sadoki, akasema, Niende mbio sasa, nikampelekee mfalme habari, jinsi BWANA alivyomlipiza kisasi juu ya adui zake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Kisha, Ahimaasi mwana wa Sadoki, akasema, “Niruhusu nikimbie kumpelekea mfalme habari hizi kuwa Mwenyezi-Mungu amemkomboa katika nguvu za adui zake.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Kisha, Ahimaasi mwana wa Sadoki, akasema, “Niruhusu nikimbie kumpelekea mfalme habari hizi kuwa Mwenyezi-Mungu amemkomboa katika nguvu za adui zake.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Kisha, Ahimaasi mwana wa Sadoki, akasema, “Niruhusu nikimbie kumpelekea mfalme habari hizi kuwa Mwenyezi-Mungu amemkomboa katika nguvu za adui zake.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Basi Ahimaasi mwana wa Sadoki akasema, “Niruhusu mimi nikimbie na kumpelekea mfalme habari kwamba Mwenyezi Mungu amemwokoa mfalme kutoka mikononi mwa adui zake.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Basi Ahimaasi mwana wa Sadoki akasema, “Niruhusu mimi nikimbie na kumpelekea mfalme habari kwamba bwana amemwokoa mfalme kutoka mikononi mwa adui zake.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Basi Ahimaasi, mwana wa Sadoki, akasema, Niende mbio sasa, nikampelekee mfalme habari, jinsi BWANA alivyomlipiza kisasi juu ya adui zake. Tazama sura |