Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:40 - Swahili Revised Union Version

Maana umenijaza nguvu ya kupigana vita; Ukawafanya adui zangu wafifie chini yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wewe ulinijalia nguvu ya kupigana vita; uliwaporomosha adui chini yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wewe ulinijalia nguvu ya kupigana vita; uliwaporomosha adui chini yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wewe ulinijalia nguvu ya kupigana vita; uliwaporomosha adui chini yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana umenijaza nguvu ya kupigana vita; Ukawafanya adui zangu wafifie chini yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:40
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na iwe kwake kama vazi ajivikalo, Na kama mshipi ajifungao daima.


Mwamba wangu na ngome yangu, Nguzo yangu na mwokozi wangu Ngao yangu ninayemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.


Mungu ndiye anifungaye mshipi wa nguvu, Naye anaifanya kamilifu njia yangu.


Nawe umenipa nguvu za vita, Hunitiishia chini yangu walionishambulia.


Kwa nguvu zako tutawaangusha watesi wetu; Kwa jina lako tutawakanyaga watupingao.


Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine; zaidi yangu mimi hapana Mungu; nitakuimarisha ijapokuwa hukunijua;


Na wana wa watu wale waliokutesa Watakuja kwako na kukuinamia; Nao wote waliokudharau Watajiinamisha katika nyayo za miguu yako; Nao watakuita, Mji wa BWANA, Sayuni wa Mtakatifu wa Israeli.


mkiwezeshwa kwa uwezo wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu wake, mpate kuwa na subira ya kila namna na uvumilivu pamoja na furaha;


Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuifungua mihuri yake; kwa kuwa ulichinjwa, ukawa fidia kwa Mungu na kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,


Ndipo wakaenda Keila, Daudi na watu wake, wakapigana na hao Wafilisti, wakateka nyara ng'ombe zao, na kuwaua uuaji mkuu. Hivyo Daudi akawaokoa watu wa Keila.