2 Samueli 22:41 - Swahili Revised Union Version41 Naam, adui zangu umewafanya wanipe visogo, Ili niwakatilie mbali wanaonichukia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema41 Uliwafanya adui zangu wakimbie, na wale walionichukia niliwaangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND41 Uliwafanya adui zangu wakimbie, na wale walionichukia niliwaangamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza41 Uliwafanya adui zangu wakimbie, na wale walionichukia niliwaangamiza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu41 Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu41 Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI41 Naam, adui zangu umewafanya wanipe visogo, Ili niwakatilie mbali wanaonichukia. Tazama sura |
Kisha ikawa hapo walipomletea Yoshua hao wafalme watano hapo nje, Yoshua akawaita wanaume wote wa Israeli, akawaambia majemadari wa watu wa vita waliokwenda naye, Haya, jongeeni karibu, mweke nyayo za miguu yenu katika shingo za wafalme hawa. Nao wakajongea karibu, wakatia nyayo zao katika shingo zao.