Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:39 - Swahili Revised Union Version

Nami nimewakomesha na kuwapiga wasiweze kusimama; Naam, wameanguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Niliwaangamiza, nikawaangusha chini wasiweze kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Niliwaangamiza, nikawaangusha chini wasiweze kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Niliwaangamiza, nikawaangusha chini wasiweze kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nimewakomesha na kuwapiga wasiweze kusimama; Naam, wameanguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:39
9 Marejeleo ya Msalaba  

Maana umenijaza nguvu ya kupigana vita; Ukawafanya adui zangu wafifie chini yangu.


Mfalme akaamuru, nao wakaleta mawe makubwa, mawe ya thamani, ili wauweke msingi wa nyumba kwa mawe yaliyochongwa.


Neno la BWANA kwa Bwana wangu, Uketi upande wangu wa kulia, Hadi niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Nitawafuatia adui zangu na kuwapata, Wala sitarudi nyuma hadi wakomeshwe.


Kwa maana, angalieni, siku ile inakuja, inawaka kama tanuri; na watu wote wenye kiburi, nao wote watendao uovu, watakuwa makapi; na siku ile inayokuja itawateketeza, asema BWANA wa majeshi; hata haitawaachia shina wala tawi.


Nanyi mtawakanyaga waovu; maana watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu; katika siku ile niifanyayo, asema BWANA wa majeshi.


Kisha ikawa hapo walipomletea Yoshua hao wafalme watano hapo nje, Yoshua akawaita wanaume wote wa Israeli, akawaambia majemadari wa watu wa vita waliokwenda naye, Haya, jongeeni karibu, mweke nyayo za miguu yenu katika shingo za wafalme hawa. Nao wakajongea karibu, wakatia nyayo zao katika shingo zao.