Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 22:38 - Swahili Revised Union Version

38 Nimewafuatia adui zangu, na kuwaangamiza; Wala sikurudi nyuma hadi walipokomeshwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza, sikurudi nyuma mpaka wameangamizwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza, sikurudi nyuma mpaka wameangamizwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza, sikurudi nyuma mpaka wameangamizwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 “Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta, sikurudi nyuma hadi walipoangamizwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 “Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta, sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Nimewafuatia adui zangu, na kuwaangamiza; Wala sikurudi nyuma hadi walipokomeshwa.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 22:38
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Amoni walipoona ya kwamba Washami wamekimbia, wakakimbia nao mbele ya Abishai, wakaingia mjini. Ndipo Yoabu akarudi kutoka kwa wana wa Amoni, akaja Yerusalemu.


Nami nimewakomesha na kuwapiga wasiweze kusimama; Naam, wameanguka chini ya miguu yangu.


nami nimekuwa pamoja nawe kila ulikokwenda, na kuwakatilia mbali adui zako wote mbele yako; nami nitakufanyia jina kuu, kama jina la wakuu walioko duniani.


Adui akasema, Nitafuata, nitapata, nitagawanya nyara, Nafsi yangu itashibishwa na wao; Nitaufuta upanga wangu, mkono wangu utawaangamiza.


Lakini katika mambo hayo yote sisi ni zaidi ya washindi, kupitia kwake yeye aliyetupenda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo