Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:38 - Swahili Revised Union Version

Nimewafuatia adui zangu, na kuwaangamiza; Wala sikurudi nyuma hadi walipokomeshwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza, sikurudi nyuma mpaka wameangamizwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza, sikurudi nyuma mpaka wameangamizwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza, sikurudi nyuma mpaka wameangamizwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta, sikurudi nyuma hadi walipoangamizwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta, sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimewafuatia adui zangu, na kuwaangamiza; Wala sikurudi nyuma hadi walipokomeshwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:38
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Amoni walipoona ya kwamba Washami wamekimbia, wakakimbia nao mbele ya Abishai, wakaingia mjini. Ndipo Yoabu akarudi kutoka kwa wana wa Amoni, akaja Yerusalemu.


Nami nimewakomesha na kuwapiga wasiweze kusimama; Naam, wameanguka chini ya miguu yangu.


nami nimekuwa pamoja nawe kila ulikokwenda, na kuwakatilia mbali adui zako wote mbele yako; nami nitakufanyia jina kuu, kama jina la wakuu walioko duniani.


Adui akasema, Nitafuata, nitapata, nitagawanya nyara, Nafsi yangu itashibishwa na wao; Nitaufuta upanga wangu, mkono wangu utawaangamiza.


Lakini katika mambo hayo yote sisi ni zaidi ya washindi, kupitia kwake yeye aliyetupenda.