Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:23 - Swahili Revised Union Version

Maana hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu; Na kuhusu amri zake, sikuziacha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimeshika maagizo yake yote, sikuacha kufuata masharti yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimeshika maagizo yake yote, sikuacha kufuata masharti yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimeshika maagizo yake yote, sikuacha kufuata masharti yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu; Na kuhusu amri zake, sikuziacha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:23
14 Marejeleo ya Msalaba  

Sikuziacha hukumu zako, Maana Wewe mwenyewe umenifundisha.


Maana nayafuata mausia yako yote, kuwa ya adili, Kila njia ya uongo naichukia.


Kwa midomo yangu nimezisimulia Hukumu zote za kinywa chako.


Nimeichagua njia ya uaminifu, Na kuziweka hukumu zako mbele yangu.


Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote.


Amri zako zote ni za kudumu, Ninateswa bila sababu, nisaidie!


Na wote wawili walikuwa wenye haki mbele za Mungu, wakiishi katika amri zote za Bwana na maagizo yake bila lawama.


Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


moyo wake usije ukainuliwa juu ya ndugu zake, wala asikengeuke katika maagizo, kwa mkono wa kulia wala wa kushoto; ili apate kuzifanya siku zake kuwa nyingi katika ufalme wake, yeye na wanawe, katikati ya Israeli.


Na itakuwa, kwa sababu mnazisikiliza hukumu hizi, na kuzishika na kuzitenda, basi BWANA, Mungu wako, atakutimilizia agano na rehema aliyowaapia baba zako;


Jihadhari, usije ukamsahau BWANA, Mungu wako, kwa kutozishika amri zake, na hukumu zake, na sheria zake, ninazokuamuru leo.