Luka 1:6 - Swahili Revised Union Version6 Na wote wawili walikuwa wenye haki mbele za Mungu, wakiishi katika amri zote za Bwana na maagizo yake bila lawama. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Wote wawili walikuwa wanyofu mbele ya Mungu, wakiishi kwa kufuata amri na maagizo yote ya Bwana bila lawama. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Wote wawili walikuwa wanyofu mbele ya Mungu, wakiishi kwa kufuata amri na maagizo yote ya Bwana bila lawama. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Wote wawili walikuwa wanyofu mbele ya Mungu, wakiishi kwa kufuata amri na maagizo yote ya Bwana bila lawama. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Zakaria na Elizabeti mkewe wote walikuwa watu wanyofu mbele za Mungu, wakizishika amri zote za Mwenyezi Mungu na maagizo yote bila lawama. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Zekaria na Elizabeti mkewe wote walikuwa watu wanyofu mbele za Mwenyezi Mungu, wakizishika amri zote za Bwana Mwenyezi Mungu na maagizo yote bila lawama. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Na wote wawili walikuwa wenye haki mbele za Mungu, wakiishi katika amri zote za Bwana na maagizo yake bila lawama. Tazama sura |