Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:12 - Swahili Revised Union Version

Akafanya giza hema zake za kumzunguka, Makusanyiko ya maji, mawingu makuu ya mbinguni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alijizungushia giza pande zote, kifuniko chake kilikuwa mawingu mazito na mkusanyiko wa maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alijizungushia giza pande zote, kifuniko chake kilikuwa mawingu mazito na mkusanyiko wa maji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alijizungushia giza pande zote, kifuniko chake kilikuwa mawingu mazito na mkusanyiko wa maji.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alifanya giza hema lake la kujifunika: mawingu meusi ya mvua ya angani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alifanya giza hema lake la kujifunika: mawingu meusi ya mvua ya angani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafanya giza hema zake za kumzunguka, Makusanyiko ya maji, mawingu makuu ya mbinguni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Aliziinamisha mbingu akashuka; Kukawa na giza kuu chini ya miguu yake.


Ikawa, Ben-hadadi alipolisikia neno hilo, naye alikuwa akinywa, yeye na wafalme, mabandani, aliwaambia watumwa wake, Jipangeni. Wakajipanga juu ya mji.


Naam, mtu aweza kuelewa matandazo ya mawingu, Ngurumo za makao yake?


Maana atanisitiri bandani mwake siku ya mabaya, Atanisitiri katika sitara ya hema yake, Na kuniinua juu ya mwamba.


Mawingu na giza vyamzunguka, Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake.