Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 22:12 - Swahili Revised Union Version

12 Akafanya giza hema zake za kumzunguka, Makusanyiko ya maji, mawingu makuu ya mbinguni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Alijizungushia giza pande zote, kifuniko chake kilikuwa mawingu mazito na mkusanyiko wa maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Alijizungushia giza pande zote, kifuniko chake kilikuwa mawingu mazito na mkusanyiko wa maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Alijizungushia giza pande zote, kifuniko chake kilikuwa mawingu mazito na mkusanyiko wa maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Alifanya giza hema lake la kujifunika: mawingu meusi ya mvua ya angani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Alifanya giza hema lake la kujifunika: mawingu meusi ya mvua ya angani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Akafanya giza hema zake za kumzunguka, Makusanyiko ya maji, mawingu makuu ya mbinguni.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 22:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Aliziinamisha mbingu akashuka; Kukawa na giza kuu chini ya miguu yake.


Ikawa, Ben-hadadi alipolisikia neno hilo, naye alikuwa akinywa, yeye na wafalme, mabandani, aliwaambia watumwa wake, Jipangeni. Wakajipanga juu ya mji.


Naam, mtu aweza kuelewa matandazo ya mawingu, Ngurumo za makao yake?


Maana atanisitiri bandani mwake siku ya mabaya, Atanisitiri katika sitara ya hema yake, Na kuniinua juu ya mwamba.


Mawingu na giza vyamzunguka, Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo