Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 1:22 - Swahili Revised Union Version

Basi tazama, alipokuwa katika kusema na mfalme, Nathani, nabii, aliingia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati Bathsheba alipokuwa akizungumza na mfalme, nabii Nathani aliingia ikulu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati Bathsheba alipokuwa akizungumza na mfalme, nabii Nathani aliingia ikulu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati Bathsheba alipokuwa akizungumza na mfalme, nabii Nathani aliingia ikulu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipokuwa angali anazungumza na mfalme, nabii Nathani akafika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipokuwa angali anazungumza na mfalme, nabii Nathani akafika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi tazama, alipokuwa katika kusema na mfalme, Nathani, nabii, aliingia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 1:22
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, kabla hajaisha kunena, tazama, Rebeka anatokea, binti wa Bethueli mwana wa Milka, mkewe Nahori, ndugu wa Abrahamu, naye ana mtungi begani pake.


mfalme akamwambia Nathani, nabii, Angalia sasa, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi, bali sanduku la Mungu linakaa ndani ya mapazia.


Ama sivyo itakuwa, bwana wangu mfalme atakapolala pamoja na baba zake, mimi na mwanangu Sulemani tutahesabiwa kuwa wahalifu.


Wakamwambia mfalme wakasema, Tazama, Nathani, nabii. Naye alipoingia ndani mbele ya mfalme, akamsujudia kifudifudi.


Basi hapo nilipokuwa nikisema, na kuomba, na kuiungama dhambi yangu, na dhambi ya watu wangu Israeli, na kuomba dua yangu mbele za BWANA, Mungu wangu, kwa ajili ya mlima mtakatifu wa Mungu wangu;