Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 1:22 - Swahili Revised Union Version

22 Basi tazama, alipokuwa katika kusema na mfalme, Nathani, nabii, aliingia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Wakati Bathsheba alipokuwa akizungumza na mfalme, nabii Nathani aliingia ikulu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Wakati Bathsheba alipokuwa akizungumza na mfalme, nabii Nathani aliingia ikulu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Wakati Bathsheba alipokuwa akizungumza na mfalme, nabii Nathani aliingia ikulu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Alipokuwa angali anazungumza na mfalme, nabii Nathani akafika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Alipokuwa angali anazungumza na mfalme, nabii Nathani akafika.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Basi tazama, alipokuwa katika kusema na mfalme, Nathani, nabii, aliingia.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 1:22
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, kabla hajaisha kunena, tazama, Rebeka anatokea, binti wa Bethueli mwana wa Milka, mkewe Nahori, ndugu wa Abrahamu, naye ana mtungi begani pake.


mfalme akamwambia Nathani, nabii, Angalia sasa, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi, bali sanduku la Mungu linakaa ndani ya mapazia.


Ama sivyo itakuwa, bwana wangu mfalme atakapolala pamoja na baba zake, mimi na mwanangu Sulemani tutahesabiwa kuwa wahalifu.


Wakamwambia mfalme wakasema, Tazama, Nathani, nabii. Naye alipoingia ndani mbele ya mfalme, akamsujudia kifudifudi.


Basi hapo nilipokuwa nikisema, na kuomba, na kuiungama dhambi yangu, na dhambi ya watu wangu Israeli, na kuomba dua yangu mbele za BWANA, Mungu wangu, kwa ajili ya mlima mtakatifu wa Mungu wangu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo