Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Timotheo 6:7 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Timotheo 6:7
6 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi, nami nitarudi tena huko uchi vile vile; BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.


Maana atakapokufa hatachukua chochote; Utukufu wake hautashuka ukimfuata.


Kwa maana mali haziwi za milele; Na taji je! Ladumu tangu kizazi hata kizazi?