Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 6:8 - Swahili Revised Union Version

8 ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 6:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akaweka nadhiri akisema, Mungu akiwa pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na nguo nivae;


Akambariki Yusufu, akasema, Mungu ambaye baba zangu, Abrahamu na Isaka, walienenda mbele zake, yeye Mungu aliyenilisha, maisha yangu yote, hata siku hii ya leo,


Utupe leo riziki yetu.


Kwa kuwa BWANA, Mungu wako, amekubariki katika kazi yote ya mkono wako; amejua ulivyotembea katika jangwa kubwa hili; miaka arubaini hii alikuwa nawe BWANA, Mungu wako; hukukosa kitu.


Si kwamba nasema haya kwa kuwa nina mahitaji; maana nimejifunza kuwa radhi na hali yoyote niliyo nayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo