Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 6:7 - Swahili Revised Union Version

7 Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu;

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 6:7
6 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi, nami nitarudi tena huko uchi vile vile; BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.


Maana atakapokufa hatachukua chochote; Utukufu wake hautashuka ukimfuata.


Kwa maana mali haziwi za milele; Na taji je! Ladumu tangu kizazi hata kizazi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo