Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 6:6 - Swahili Revised Union Version

6 Lakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Kweli kumcha Mungu humfanya mtu awe tajiri sana, ikiwa anatosheka na vitu alivyo navyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Kweli kumcha Mungu humfanya mtu awe tajiri sana, ikiwa anatosheka na vitu alivyo navyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Kweli kumcha Mungu humfanya mtu awe tajiri sana, ikiwa anatosheka na vitu alivyo navyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Lakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 6:6
23 Marejeleo ya Msalaba  

Basi twende mpaka Yordani, twakuomba, tutwae huko kila mtu mti mmoja, ili tujifanyie huko mahali pa kukaa. Akajibu, Haya! Nendeni.


Kidogo alicho nacho mwenye haki ni bora Kuliko wingi wa mali wa wasio haki wengi.


Kwa kuwa BWANA, Mungu, ni jua na ngao, BWANA atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu.


Musa akawa radhi kukaa kwake mtu yule, naye akampa Musa binti yake, Sipora.


Kuwa na mali chache pamoja na kumcha BWANA; Ni bora kuliko mali nyingi pamoja na taabu.


Afadhali mali kidogo pamoja na haki, Kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.


Mwenye nafsi ya kutamani huchochea fitina; Bali amtumainiye BWANA ataneemeshwa.


wala tusijijengee nyumba za kukaa; wala hatuna shamba la mizabibu, wala shamba, wala mbegu;


Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo.


Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtosheke na mishahara yenu.


Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.


Maana dhiki yetu nyepesi, iliyo ya muda mfupi tu, yatuandalia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana;


Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida.


Maana, mazoezi ya viungo vya mwili yana manufaa kidogo, lakini utauwa una manufaa ya kila aina; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye.


ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.


Msiwe na tabia ya kupenda fedha; muwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia kamwe, wala sitakuacha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo