Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 13:23 - Swahili Revised Union Version

Na jeshi la Wafilisti wakatoka hata mpito ya Mikmashi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wafilisti walipeleka kikosi cha askari kwenda kulinda njia ya Mikmashi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wafilisti walipeleka kikosi cha askari kwenda kulinda njia ya Mikmashi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wafilisti walipeleka kikosi cha askari kwenda kulinda njia ya Mikmashi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi kikosi cha Wafilisti kilikuwa kimetoka kuelekea njia iendayo Mikmashi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi kikosi cha Wafilisti kilikuwa kimetoka kuelekea njia iendayo Mikmashi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na jeshi la Wafilisti wakatoka hata mwanya wa Mikmashi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 13:23
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Daudi wakati ule alikuwako ngomeni, na jeshi la Wafilisti wakati ule walikuwako Bethlehemu.


Amefika Ayathi; amepita kati ya Migroni; ameweka mizigo yake huko Mikmashi;


wamevuka kivuko; wamekwenda kulala katika Geba; Rama unatetemeka; Gibea wa Sauli umekimbia.


Nao Wafilisti wakakusanyika ili wapigane na Waisraeli, magari elfu thelathini, na wapanda farasi elfu sita, na watu kama mchanga ulio ufuoni mwa bahari kwa wingi wao; wakapanda juu, wakapiga kambi yao katika Mikmashi, upande wa mashariki wa Beth-aveni.


Basi ikatukia siku moja, ya kwamba Yonathani, mwana wa Sauli, akamwambia yule kijana aliyembebea silaha zake, Haya! Na tuvuke twende kwa Wafilisti ngomeni, pale ng'ambo ya pili. Lakini hakumwarifu babaye.