Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 1:14 - Swahili Revised Union Version

Ndipo Eli akamwambia, Je! Utakuwa mlevi hadi lini? Achilia mbali divai yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo Eli akamwambia, “Utaendelea kulewa hadi lini? Achana na kunywa divai.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo Eli akamwambia, “Utaendelea kulewa hadi lini? Achana na kunywa divai.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo Eli akamwambia, “Utaendelea kulewa hadi lini? Achana na kunywa divai.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye akamwambia, “Utaendelea kulewa hadi lini? Achilia mbali mvinyo wako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye akamwambia, “Utaendelea kulewa mpaka lini? Achilia mbali mvinyo wako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Eli akamwambia, Je! Utakuwa mlevi hadi lini? Achilia mbali divai yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 1:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa una uovu mkononi mwako, uweke mbali nawe, Wala usikubali upuzi kukaa hemani mwako;


Ukimrudia Mwenyezi, utajengwa; Ukiuondoa udhalimu mbali na hema yako.


Wewe utanena maneno haya hadi lini? Maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo mkuu hadi lini?


Hadi lini mtamshambulia mtu, Mpate kumwua ninyi nyote pamoja? Kama ukuta unaoinama, Kama ua ulio tayari kuanguka,


Jiepushe na kinywa cha ujeuri, Na midomo ya upotovu uiweke mbali nawe.


Ewe mvivu, utalala hadi lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?


Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.


Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.


Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake.


Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matusi yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya;