Waefeso 4:31 - Swahili Revised Union Version31 Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matusi yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele na matusi. Acheni kila uovu! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele na matusi. Acheni kila uovu! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele na matusi. Acheni kila uovu! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Ondoeni kabisa uchungu, ghadhabu na hasira, makelele na masingizio, pamoja na kila aina ya uovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Ondoeni kabisa uchungu, ghadhabu, hasira, makelele na masingizio pamoja na kila aina ya uovu. Tazama sura |
Hao watu wa Israeli wakawajibu watu wa Yuda, wakasema, Sisi tunazo sehemu kumi katika mfalme, tena tunayo haki yetu katika Daudi zaidi kuliko ninyi; mbona basi ninyi mmetudharau sisi, msitake ushauri wetu kwanza katika kumrudisha tena mfalme wetu? Na maneno ya watu wa Yuda yakawa makali kuliko maneno ya watu wa Israeli.