Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 4:24 - Swahili Revised Union Version

24 Jiepushe na kinywa cha ujeuri, Na midomo ya upotovu uiweke mbali nawe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Tenga mbali nawe lugha potovu; wala midomo yako isitamke maneno madanganyifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Tenga mbali nawe lugha potovu; wala midomo yako isitamke maneno madanganyifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Tenga mbali nawe lugha potovu; wala midomo yako isitamke maneno madanganyifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Epusha kinywa chako na ukaidi; weka mazungumzo machafu mbali na midomo yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Epusha kinywa chako na ukaidi; weka mazungumzo machafu mbali na midomo yako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Jiepushe na kinywa cha ujeuri, Na midomo ya upotovu uiweke mbali nawe.

Tazama sura Nakili




Methali 4:24
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa una uovu mkononi mwako, uweke mbali nawe, Wala usikubali upuzi kukaa hemani mwako;


Uache mabaya ukatende mema, Utafute amani ukaifuatie.


Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.


Mtu mwenye moyo wa ukaidi hatapata mema; Na mwenye ulimi wa upotovu huanguka katika misiba.


Afadhali maskini aendaye katika uadilifu wake, Kuliko mpotovu wa midomo aliye mpumbavu.


Macho yako yatazame mbele, Na kope zako zitazame mbele yako sawasawa.


Mtu asiyefaa kitu, mtu wa uovu; Huenda njiani mwenye kinywa cha upotovu.


Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.


Maneno yote ya kinywa changu yana haki; Hapana hata neno lililopotoka au la ukaidi.


Tupilieni mbali nanyi makosa yenu yote mliyoyakosa; jifanyieni moyo mpya na roho mpya; mbona mnataka kufa, enyi nyumba ya Israeli?


Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na masuto, na matusi vinywani mwenu.


na kuzozana miongoni mwa watu waliopotoka katika akili zao, walioikosa kweli, huku wakidhani ya kuwa utauwa ni njia ya kupata faida.


Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwa ndani, liwezalo kuziokoa roho zenu.


Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, ili hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai.


Basi, wekeni mbali uovu wote na hila yote, na unafiki na husuda na masingizio yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo