Yoshua 22:18 - Swahili Revised Union Version18 hata ikawa hamna budi hivi leo kugeuka na kuacha kumfuata BWANA? Kisha itakuwa, kwa kuwa ninyi mnamwasi BWANA hivi leo, kwamba kesho yeye atakasirika na mkutano wote wa Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Kwa nini, basi, mmeacha kumfuata Mwenyezi-Mungu? Mkimwasi Mwenyezi-Mungu leo, kesho ataikasirikia sana jumuiya nzima ya Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Kwa nini, basi, mmeacha kumfuata Mwenyezi-Mungu? Mkimwasi Mwenyezi-Mungu leo, kesho ataikasirikia sana jumuiya nzima ya Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Kwa nini, basi, mmeacha kumfuata Mwenyezi-Mungu? Mkimwasi Mwenyezi-Mungu leo, kesho ataikasirikia sana jumuiya nzima ya Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Je, sasa ndiyo mnamwacha Mwenyezi Mungu? “ ‘Mkimwasi Mwenyezi Mungu leo, kesho atawakasirikia kusanyiko lote la Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Je, sasa ndiyo mnamwacha bwana? “ ‘Kama mkimwasi bwana leo, kesho atalikasirikia kusanyiko lote la Israeli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 hata ikawa hamna budi hivi leo kugeuka na kuacha kumfuata BWANA? Kisha itakuwa, kwa kuwa ninyi mnamwasi BWANA hivi leo, kwamba kesho yeye atakasirika na mkutano wote wa Israeli. Tazama sura |