Yoshua 16:7 - Swahili Revised Union Version7 kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi, na Naara, kisha ukafika Yeriko, na kutokea hapo penye mto wa Yordani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Kutoka Yanoa ulikwenda hadi Atarothi na Naara, hata kufika Yeriko, ambako uliishia katika mto Yordani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Kutoka Yanoa ulikwenda hadi Atarothi na Naara, hata kufika Yeriko, ambako uliishia katika mto Yordani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Kutoka Yanoa ulikwenda hadi Atarothi na Naara, hata kufika Yeriko, ambako uliishia katika mto Yordani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi na Naara, ukagusa Yeriko na kutokea katika Mto Yordani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi na Naara, ukagusa Yeriko na kutokea katika Mto Yordani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi, na Naara, kisha ukafika Yeriko, na kutokea hapo penye mto wa Yordani. Tazama sura |