Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 5:25 - Swahili Revised Union Version

25 Methusela akaishi miaka mia moja na themanini na saba, akamzaa Lameki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Wakati Methusela alipokuwa na umri wa miaka 187, alimzaa Lameki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Wakati Methusela alipokuwa na umri wa miaka 187, alimzaa Lameki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Wakati Methusela alipokuwa na umri wa miaka 187, alimzaa Lameki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Methusela alipokuwa ameishi miaka mia moja na themanini na saba (187), akamzaa Lameki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Methusela akaishi miaka mia moja na themanini na saba, akamzaa Lameki.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 5:25
3 Marejeleo ya Msalaba  

Henoko akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli; Mehuyaeli akamzaa Methushaeli; Methushaeli akamzaa Lameki.


Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.


Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo