Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 5:26 - Swahili Revised Union Version

26 Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka mia saba na themanini na mbili (782), akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 5:26
3 Marejeleo ya Msalaba  

Methusela akaishi miaka mia moja na themanini na saba, akamzaa Lameki.


Siku zote za Methusela ni miaka mia tisa na sitini na tisa, akafa.


Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo