Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 5:24 - Swahili Revised Union Version

24 Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Alikuwa mcha Mungu, akatoweka, kwa maana Mungu alimchukua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Alikuwa mcha Mungu, akatoweka, kwa maana Mungu alimchukua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Alikuwa mcha Mungu, akatoweka, kwa maana Mungu alimchukua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Idrisi akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Idrisi akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 5:24
19 Marejeleo ya Msalaba  

Akaniambia, BWANA, ambaye naenenda machoni pake, atatuma malaika wake pamoja nawe, atafanikisha njia yako; nawe umtwalie mwanangu mke katika jamaa zangu, na wa nyumba ya babangu.


Akarudi kwa ndugu zake, akasema, Mtoto hayuko, nami niende wapi?


Yakobo baba yao akawaambia, Mmeniondolea watoto wangu; Yusufu hayuko, wala Simeoni hayuko, na Benyamini mnataka kumchukua naye; mambo hayo yote yamenipata mimi.


Henoko akaenda pamoja na Mungu. Baada ya kumzaa Methusela aliishi miaka mia tatu, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Siku zote za Henoko ni miaka mia tatu na sitini na mitano.


Methusela akaishi miaka mia moja na themanini na saba, akamzaa Lameki.


Hivi ndivyo vizazi vya Nuhu. Nuhu alikuwa mtu wa haki, mkamilifu katika vizazi vyake; Nuhu alikwenda pamoja na Mungu.


Ikawa, hapo BWANA alipokuwa karibu kumchukua Eliya mbinguni kwa upepo wa kisulisuli, Eliya alitoka Gilgali pamoja na Elisha.


Akasema, Umeomba neno gumu; lakini, ukiniona nitakapoondolewa kwako, utalipata; la hukuniona, hulipati.


Ikawa, walipokuwa wakiendelea mbele na kuongea, tazama! Kukatokea gari la moto, na farasi wa moto, likawatenga wale wawili; naye Eliya akapanda mbinguni kwa upepo wa kisulisuli.


Naye Elisha akaona, akalia, Baba yangu, baba yangu, gari la Israeli na wapanda farasi wake! Asimwone tena kabisa; akashika mavazi yake mwenyewe, akayararua vipande viwili.


Bali Mungu atanikomboa nafsi yangu, Atanitoa mkononi mwa kuzimu, maana atanipokea.


Utaniongoza kwa shauri lako, Na baadaye utanikaribisha kwa utukufu.


BWANA asema hivi, Sauti imesikiwa Rama, kilio, na maombolezo mengi, Raheli akiwalilia watoto wake; asikubali kufarijiwa kwa watoto wake, kwa kuwa hawako.


Sauti ilisikiwa Rama, Kilio na maombolezo mengi, Raheli akiwalilia watoto wake, Asikubali kufarijiwa, kwa kuwa hawapo tena.


Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.


bali tukienenda katika nuru, kama yeye alivyo katika nuru, tunashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote.


Na Henoko, mtu wa kizazi cha saba toka kwa Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, Angalia, Bwana yuaja na watakatifu wake, maelfu kwa maelfu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo