Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 41:10 - Swahili Revised Union Version

10 Farao aliwakasirikia watumishi wake, akanitia nifungwe nyumbani mwa mkuu wa askari walinzi, mimi na mkuu wa waokaji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Wakati ule ulipotukasirikia sisi watumishi wako, mimi na mwoka mikate mkuu, ulitufungia ndani ya ngome ya mkuu wa kikosi cha ulinzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Wakati ule ulipotukasirikia sisi watumishi wako, mimi na mwoka mikate mkuu, ulitufungia ndani ya ngome ya mkuu wa kikosi cha ulinzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Wakati ule ulipotukasirikia sisi watumishi wako, mimi na mwoka mikate mkuu, ulitufungia ndani ya ngome ya mkuu wa kikosi cha ulinzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Farao alipowakasirikia watumishi wake, alinifunga mimi na mwokaji mkuu katika nyumba ya mkuu wa walinzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wakati fulani Farao aliwakasirikia watumishi wake, akanifunga mimi na mwokaji mkuu katika nyumba ya mkuu wa ulinzi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Farao aliwakasirikia watumishi wake, akanitia nifungwe nyumbani mwa mkuu wa askari walinzi, mimi na mkuu wa waokaji.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 41:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nao Wamidiani wakamuuza huko Misri, kwa Potifa, mmoja wa maofisa wa Farao, mkuu wa askari walinzi.


Bwana wake akamtwaa Yusufu, akamtia gerezani, mahali wafungwa wa mfalme walimokuwa wamefungiwa, naye akawa humo gerezani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo