Methali 13:8 - Swahili Revised Union Version8 Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lolote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Fidia ya mtu ni mali yake, lakini maskini hana cha kutishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Fidia ya mtu ni mali yake, lakini maskini hana cha kutishwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Fidia ya mtu ni mali yake, lakini maskini hana cha kutishwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Utajiri wa mtu unaweza kukomboa maisha yake, bali mtu maskini hasikii kitisho. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Utajiri wa mtu waweza kukomboa maisha yake, bali mtu maskini hasikii kitisho. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lolote. Tazama sura |