Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 13:8 - Swahili Revised Union Version

8 Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lolote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Fidia ya mtu ni mali yake, lakini maskini hana cha kutishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Fidia ya mtu ni mali yake, lakini maskini hana cha kutishwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Fidia ya mtu ni mali yake, lakini maskini hana cha kutishwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Utajiri wa mtu unaweza kukomboa maisha yake, bali mtu maskini hasikii kitisho.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Utajiri wa mtu waweza kukomboa maisha yake, bali mtu maskini hasikii kitisho.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Fidia ya nafsi ya mtu ni utajiri wake; Bali mtu maskini hasikii ogofyo lolote.

Tazama sura Nakili




Methali 13:8
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akawachukua mateka watu wa Yerusalemu wote pia, na wakuu wote, na mashujaa wote, watu elfu kumi; na mafundi wote, na wafua chuma wote; hapana mtu aliyebaki, ila waliokuwa wanyonge wa watu wa nchi.


Lakini huyo kamanda wa askari walinzi akawaacha watu walio maskini ili wawe watunza mizabibu na wakulima.


Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.


Lakini akiandikiwa ukombozi, ndipo atakapotoa kwa ajili ya uhai wake hicho atakachoandikiwa.


Kuna mtu anayejitajirisha, lakini hana kitu; Kuna anayejifanya kuwa maskini, lakini ana mali nyingi.


Nuru ya mwenye haki yang'aa sana; Bali taa ya mtu mbaya itazimika.


Taji la wenye hekima ni mali zao; Bali upumbavu wa wajinga ni upumbavu tu.


Hatakubali fidia yoyote; Wala hatakuwa radhi, ujapomlipa vitu vingi.


Lakini Nebuzaradani, kamanda wa askari walinzi, akawaacha baadhi ya maskini wa watu, waliokuwa hawana kitu, katika nchi ya Yuda, akawapa mashamba ya mizabibu na mashamba wakati uo huo.


Lakini watu kumi walionekana miongoni mwao, waliomwambia Ishmaeli, Usituue; kwa maana tuna akiba zetu zilizofichwa shambani, za ngano, na shayiri, na mafuta, na asali. Basi, akawaacha, asiwaue watu hao pamoja na ndugu zao.


Lakini nitabakiza ndani yako watu walioonewa na maskini, nao watalitumainia jina la BWANA.


Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kuipoteza nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo