Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:19 - Swahili Revised Union Version

19 Mdomo wa kweli utathibitishwa milele; Bali ulimi wa uongo ni wa kitambo tu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Ukweli hudumu milele, lakini uongo ni wa kitambo tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Ukweli hudumu milele, lakini uongo ni wa kitambo tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Ukweli hudumu milele, lakini uongo ni wa kitambo tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Midomo isemayo kweli hudumu milele, bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda mfupi tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Midomo isemayo kweli hudumu milele, bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda mfupi tu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Mdomo wa kweli utathibitishwa milele; Bali ulimi wa uongo ni wa kitambo tu.

Tazama sura Nakili




Methali 12:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Mimi nami ni nabii kama wewe, na malaika akaniambia kwa neno la BWANA, kusema, Mrudishe pamoja nawe nyumbani kwako, ale chakula, akanywe maji. Lakini alisema uongo.


Akamwambia, Je! Moyo wangu haukuenda na wewe, hapo alipogeuka yule mtu katika gari ili akulaki? Je! Huu ndio wakati wa kupokea fedha, na kupokea mavazi, na mashamba ya mizeituni, na mizabibu, na kondoo, na ng'ombe, na watumwa, na wajakazi?


Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu?


Nao wenye haki wataona; Wataingiwa na hofu na kumcheka;


Hila imo mioyoni mwao wafikirio uovu; Bali wafanyao mashauri ya amani, kwao kuna furaha.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Naye asemaye uongo ataangamia.


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo