Mathayo 17:18 - Swahili Revised Union Version18 Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule mvulana akapona tangu saa ile. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Isa akamkemea yule pepo mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona tangu saa hiyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Isa akamkemea yule pepo mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona saa ile ile. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule mvulana akapona tangu saa ile. Tazama sura |