Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 17:18 - Swahili Revised Union Version

18 Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule mvulana akapona tangu saa ile.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Isa akamkemea yule pepo mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona tangu saa hiyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Isa akamkemea yule pepo mchafu, akamtoka yule kijana, naye akapona saa ile ile.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule mvulana akapona tangu saa ile.

Tazama sura Nakili




Mathayo 17:18
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule akaletewa mtu mwenye pepo, kipofu, naye ni bubu; akamponya, hata yule bubu akanena na kuona.


Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.


Yesu akajibu, akasema, Enyi kizazi kisichoamini, kilichopotoka, nitakaa pamoja nanyi hadi lini? Nitachukuliana nanyi hadi lini? Mleteni huku kwangu.


Kisha wale wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha wakasema Mbona sisi hatukuweza kumtoa?


Yesu akageuka, akamwona, akamwambia, Jipe moyo mkuu, binti yangu; imani yako imekuponya. Yule mwanamke akapona tangu saa ile.


Akaponya wengi waliokuwa na maradhi mbalimbali, akatoa pepo wengi, wala hakuwaacha pepo kunena, kwa sababu walimjua.


Kwa sababu amemwambia, Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu.


Pepo nao waliwatoka watu wengi, wakipiga kelele na kusema, Wewe u Mwana wa Mungu. Akawakemea, asiwaache kunena, kwa sababu walimjua kuwa ndiye Kristo.


Kwa kuwa amemwamuru yule pepo mchafu amtoke mtu yule. Maana amepagawa naye mara nyingi, hata alilindwa kifungoni na kufungwa minyororo na pingu; akavikata vile vifungo, akakimbizwa jangwani kwa nguvu za yule pepo.


Alipokuwa katika kumwendea, pepo akambwaga chini, akamtia kifafa. Yesu akamkemea pepo mchafu, akamponya mtoto, akamrudishia babaye.


Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo