Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 17:19 - Swahili Revised Union Version

19 Kisha wale wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha wakasema Mbona sisi hatukuweza kumtoa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Kisha wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha, wakamwuliza, “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa yule pepo?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Kisha wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha, wakamwuliza, “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa yule pepo?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Kisha wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha, wakamwuliza, “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa yule pepo?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kisha wanafunzi wakamwendea Isa wakiwa peke yao, wakamuuliza, “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kisha wanafunzi wakamwendea Isa wakiwa peke yao, wakamuuliza, “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Kisha wale wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha wakasema Mbona sisi hatukuweza kumtoa?

Tazama sura Nakili




Mathayo 17:19
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule mvulana akapona tangu saa ile.


Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu. [


Naye alipokuwa peke yake, wale watu waliomzunguka, na wale Kumi na Wawili, walimwuliza kuhusu ile mifano.


Alipoingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kwa faragha, Mbona sisi hatukuweza kumtoa?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo