Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 5:20 - Swahili Revised Union Version

20 Mbona watusahau sikuzote; Na kutuacha muda huu mwingi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Mbona umetuacha muda mrefu hivyo? Mbona umetutupa siku nyingi hivyo?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Mbona umetuacha muda mrefu hivyo? Mbona umetutupa siku nyingi hivyo?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Mbona umetuacha muda mrefu hivyo? Mbona umetutupa siku nyingi hivyo?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kwa nini watusahau siku zote? Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kwa nini watusahau siku zote? Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Mbona watusahau siku zote; Na kutuacha muda huu mwingi?

Tazama sura Nakili




Maombolezo 5:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, utanisahau hadi lini, hata milele? Hadi lini utanificha uso wako?


Nitakuwa na wasiwasi rohoni mwangu hadi lini, Nikihuzunika moyoni mchana kutwa? Adui yangu atatukuka juu yangu hadi lini?


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Mbona unatuficha uso wako, Na kusahau kuonewa na kudhulumiwa kwetu?


Ee Mungu, mbona umetutupa milele? Kwa nini hasira yako inatoka moshi Juu ya kondoo wa malisho yako?


Ee BWANA, hadi lini? Utaona hasira milele? Wivu wako utawaka kama moto?


Je! Utatufanyia hasira hata milele? Utadumisha ghadhabu kizazi hadi kizazi?


Hadi lini, Ee BWANA? Utajificha hata milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hadi lini?


Bali Sayuni alisema, YEHOVA ameniacha, Bwana amenisahau.


Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu; hawatanyamaza mchana wala usiku; ninyi wenye kumkumbusha BWANA, msiwe na kimya;


Kwa nini wewe umekuwa kama mtu aliyeshtuka, kama shujaa asiyeweza kuokoa? Lakini wewe, BWANA, u katikati yetu, nasi tunaitwa kwa jina lako; usituache.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo