Luka 23:38 - Swahili Revised Union Version38 Na juu yake palikuwa na anwani; HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Vilevile maandishi haya yalikuwa yamewekwa juu yake: “Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Vilevile maandishi haya yalikuwa yamewekwa juu yake: “Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Vilevile maandishi haya yalikuwa yamewekwa juu yake: “Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Kwenye msalaba juu ya kichwa chake, kulikuwa na maandishi haya: Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Kwenye msalaba juu ya kichwa chake, kulikuwa na maandishi haya: huyu ndiye mfalme wa wayahudi. Maandishi haya yalikuwa yameandikwa kwa lugha za Kiyunani, Kilatini na Kiebrania. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI38 Na juu yake palikuwa na anwani; HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI. Tazama sura |