Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 23:38 - Swahili Revised Union Version

38 Na juu yake palikuwa na anwani; HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Vilevile maandishi haya yalikuwa yamewekwa juu yake: “Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Vilevile maandishi haya yalikuwa yamewekwa juu yake: “Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Vilevile maandishi haya yalikuwa yamewekwa juu yake: “Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Kwenye msalaba juu ya kichwa chake, kulikuwa na maandishi haya: Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Kwenye msalaba juu ya kichwa chake, kulikuwa na maandishi haya: huyu ndiye mfalme wa wayahudi. Maandishi haya yalikuwa yameandikwa kwa lugha za Kiyunani, Kilatini na Kiebrania.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Na juu yake palikuwa na anwani; HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI.

Tazama sura Nakili




Luka 23:38
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.


Naye Yesu akasimama mbele ya mtawala; mtawala akamwuliza, akasema, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Yesu akamwambia, Wewe wasema.


Wakaweka juu ya kichwa chake mashitaka yake, yaliyoandikwa HUYU NI YESU, MFALME WA WAYAHUDI.


wakaanza kumsalimu, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!


Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.


Kristo, mfalme wa Israeli, na ashuke sasa msalabani tupate kuona na kuamini. Hata wale waliosulubiwa pamoja naye wakamsuta.


Pilato akamwuliza, akisema, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajibu akamwambia, Wewe wasema.


Wakawa wakimwendea, wakisema, Salamu! Mfalme wa Wayahudi! Wakampiga makofi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo