Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 23:39 - Swahili Revised Union Version

39 Na mmoja wa wale wahalifu waliotungikwa alimtukana, akisema, Je! Wewe si Kristo? Jiokoe nafsi yako na sisi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Mmoja wa wale wahalifu waliotundikwa msalabani, alimtukana akisema: “Je, si kweli kwamba wewe ndiwe Kristo? Basi, jiokoe mwenyewe, utuokoe na sisi pia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Mmoja wa wale wahalifu waliotundikwa msalabani, alimtukana akisema: “Je, si kweli kwamba wewe ndiwe Kristo? Basi, jiokoe mwenyewe, utuokoe na sisi pia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Mmoja wa wale wahalifu waliotundikwa msalabani, alimtukana akisema: “Je, si kweli kwamba wewe ndiwe Kristo? Basi, jiokoe mwenyewe, utuokoe na sisi pia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Mmoja wa wale wahalifu waliosulubiwa pamoja naye akamtukana, akasema: “Wewe si ndiye Al-Masihi? Jiokoe mwenyewe na utuokoe na sisi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Mmoja wa wale wahalifu waliosulubiwa pamoja naye akamtukana, akasema: “Wewe si ndiye Al-Masihi? Jiokoe mwenyewe na utuokoe na sisi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

39 Na mmoja wa wale wahalifu waliotungikwa alimtukana, akisema, Je! Wewe si Kristo? Jiokoe nafsi yako na sisi.

Tazama sura Nakili




Luka 23:39
6 Marejeleo ya Msalaba  

Pia wale wanyang'anyi waliosulubiwa pamoja naye walimshutumu vile vile.


Kristo, mfalme wa Israeli, na ashuke sasa msalabani tupate kuona na kuamini. Hata wale waliosulubiwa pamoja naye wakamsuta.


Watu wakasimama wakitazama. Wale wakuu nao walikuwa wakimfanyia mzaha, wakisema, Aliokoa wengine; na ajiokoe mwenyewe, kama ndiye Kristo wa Mungu, mteule wake.


huku wakisema, Kama wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi, ujiokoe mwenyewe.


Lakini yule wa pili akamjibu akamkemea, akisema, Wewe humwogopi hata Mungu, nawe u katika hukumu iyo hiyo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo