Isaya 32:18 - Swahili Revised Union Version18 Na watu wangu watakaa katika makao ya amani; na katika maskani zilizo salama, na katika mahali pa kupumzikia penye utulivu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Watu wangu watakaa katika makao ya amani, katika maskani salama na mazingira matulivu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Watu wangu watakaa katika makao ya amani, katika maskani salama na mazingira matulivu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Watu wangu watakaa katika makao ya amani, katika maskani salama na mazingira matulivu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani, katika nyumba zilizo salama, katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani, katika nyumba zilizo salama, katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Na watu wangu watakaa katika makao ya amani; na katika maskani zilizo salama, na katika mahali pa kupumzikia penye utulivu. Tazama sura |