Isaya 32:19 - Swahili Revised Union Version19 Lakini mvua ya mawe itanyesha, wakati wa kuangushwa miti ya msituni; na huo mji utadhilika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Msitu wa adui utatoweka kabisa, na mji wake utaangamizwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Msitu wa adui utatoweka kabisa, na mji wake utaangamizwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Msitu wa adui utatoweka kabisa, na mji wake utaangamizwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Hata mvua ya mawe iangushe msitu na mji ubomolewe kabisa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Hata kama mvua ya mawe iangushe msitu na mji ubomolewe kabisa, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Lakini mvua ya mawe itanyesha, wakati wa kuangushwa miti ya msituni; na huo mji utadhilika. Tazama sura |
Umemshutumu Bwana kwa watumishi wako, kwa kuwa umesema, Kwa wingi wa magari yangu nimepanda juu ya vilele vya milima, mpaka mahali pa ndani ya Lebanoni; nami nitaikata mierezi yake mirefu, na misonobari yake mizuri, nami nitaingia ndani ya mahali pake palipoinuka, palipo mbali sana, msitu wa shamba lake lizaalo sana.