Hesabu 3:35 - Swahili Revised Union Version35 Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hao watapiga kambi upande wa maskani, wa kaskazini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Mkuu wa ukoo wa familia za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kupiga kambi yao upande wa kaskazini wa hema takatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Mkuu wa ukoo wa familia za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kupiga kambi yao upande wa kaskazini wa hema takatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Mkuu wa ukoo wa familia za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kupiga kambi yao upande wa kaskazini wa hema takatifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Kiongozi wa jamaa za koo za Wamerari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili. Hawa walitakiwa kuweka kambi zao upande wa kaskazini mwa Maskani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Kiongozi wa jamaa za koo za Wamerari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kuweka kambi zao upande wa kaskazini mwa Maskani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI35 Na mkuu wa nyumba ya baba za jamaa za Merari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hao watapiga kambi upande wa maskani, wa kaskazini. Tazama sura |