Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 26:26 - Swahili Revised Union Version

26 Na wana wa Zabuloni kwa jamaa zao; wa Seredi, jamaa ya Waseredi; wa Eloni, jamaa ya Waeloni; wa Yaleeli, jamaa ya Wayaleeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Kabila la Zebuluni lilikuwa na jamaa za Seredi, wa Eloni na wa Yaleeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Kabila la Zebuluni lilikuwa na jamaa za Seredi, wa Eloni na wa Yaleeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Kabila la Zebuluni lilikuwa na jamaa za Seredi, wa Eloni na wa Yaleeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi; kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni; kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi; kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni; kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Na wana wa Zabuloni kwa jamaa zao; wa Seredi, jamaa ya Waseredi; wa Eloni, jamaa ya Waeloni; wa Yaleeli, jamaa ya Wayaleeli.

Tazama sura Nakili




Hesabu 26:26
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Zabuloni; Seredi, na Eloni, na Yaleeli.


Katika wana wa Zabuloni, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo