Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 8:16 - Swahili Revised Union Version

16 Atawatwaa watumishi wenu na wajakazi wenu, na ng'ombe wenu walio wazuri sana, na punda wenu, naye atawatia katika kazi zake mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Atachukua watumishi wenu wa kiume na wa kike na ng'ombe wenu wazuri na punda wenu wazuri kabisa na kuwafanya wamfanyie kazi zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Atachukua watumishi wenu wa kiume na wa kike na ng'ombe wenu wazuri na punda wenu wazuri kabisa na kuwafanya wamfanyie kazi zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Atachukua watumishi wenu wa kiume na wa kike na ng'ombe wenu wazuri na punda wenu wazuri kabisa na kuwafanya wamfanyie kazi zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Atawachukua watumishi wenu wa kiume na wa kike, na ng’ombe wenu walio wazuri sana na punda kwa matumizi yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Atawachukua watumishi wenu wa kiume na wa kike, na ng’ombe wenu walio wazuri sana na punda kwa matumizi yake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Atawatwaa watumishi wenu na wajakazi wenu, na ng'ombe wenu walio wazuri sana, na punda wenu, naye atawatia katika kazi zake mwenyewe.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 8:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, ni machela yake Sulemani; Mashujaa sitini waizunguka, Wa mashujaa wa Israeli.


Lakini, mtumwa yule akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia kuja, akaanza kuwapiga watumwa wenzake, wanaume kwa wanawake, akila na kunywa na kulewa;


Naye atawatoza ushuru wa mbegu zenu na wa mizabibu yenu, awape wakuu wake, na watumishi wake.


Atawatoza fungu la kumi la mifugo wenu; nanyi mtakuwa watumwa wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo