Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 8:17 - Swahili Revised Union Version

17 Atawatoza fungu la kumi la mifugo wenu; nanyi mtakuwa watumwa wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Atachukua sehemu ya kumi ya kondoo wenu. Na nyinyi wenyewe mtakuwa watumwa wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Atachukua sehemu ya kumi ya kondoo wenu. Na nyinyi wenyewe mtakuwa watumwa wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Atachukua sehemu ya kumi ya kondoo wenu. Na nyinyi wenyewe mtakuwa watumwa wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Atachukua sehemu ya kumi ya makundi yenu ya kondoo na mbuzi, na ninyi wenyewe mtakuwa watumwa wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Atachukua sehemu ya kumi ya makundi yenu ya kondoo na mbuzi, na ninyi wenyewe mtakuwa watumwa wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Atawatoza fungu la kumi la mifugo wenu; nanyi mtakuwa watumwa wake.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 8:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Baba yako alilifanya zito kongwa letu; basi sasa utupunguzie utumwa mzito tuliotumikishwa na baba yako, na lile kongwa zito alilotutwika, nasi tutakutumikia.


ambaye Abrahamu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;


Naye akasimama, akawapigia kelele majeshi ya Israeli akawaambia, Mbona mmetoka kupanga vita? Je! Mimi si Mfilisti, na ninyi si watumishi wa Sauli? Jichagulieni mtu, akanishukie mimi.


Atawatwaa watumishi wenu na wajakazi wenu, na ng'ombe wenu walio wazuri sana, na punda wenu, naye atawatia katika kazi zake mwenyewe.


Nanyi mtalia siku ile kwa sababu ya mfalme wenu mliyejichagulia; BWANA asiwajibu siku ile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo