Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 4:4 - Swahili Revised Union Version

Nami nikajibu, nikamwambia yule malaika aliyesema nami, nikasema, Ee Bwana wangu, vitu hivi ni nini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, nikamwuliza huyo malaika, “Bwana, vitu hivi vinamaanisha nini?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, nikamwuliza huyo malaika, “Bwana, vitu hivi vinamaanisha nini?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, nikamwuliza huyo malaika, “Bwana, vitu hivi vinamaanisha nini?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikamuuliza malaika aliyezungumza nami, “Hivi ni vitu gani, bwana wangu?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nikamuuliza malaika aliyezungumza nami, “Hivi ni vitu gani, bwana wangu?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nikajibu, nikamwambia yule malaika aliyesema nami, nikasema, Ee Bwana wangu, vitu hivi ni nini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 4:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akaondoka Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, na Yoshua, mwana wa Yosadaki, wakaanza kuijenga nyumba ya Mungu iliyoko Yerusalemu; na pamoja nao walikuwa manabii wa Mungu, wakiwasaidia.


Nami nikasikia, lakini sikuelewa; ndipo nikasema, Ee Bwana wangu, mwisho wa mambo haya utakuwaje?


Nami nikamwuliza yule malaika aliyesema nami, Nini hizi? Naye akanijibu, Hizi ndizo pembe zilizowatawanya watu wa Yuda, na Israeli, na Yerusalemu.


Ndipo nikasema, Ee Bwana wangu, ni nini hawa? Basi yule malaika aliyesema nami akaniambia, Nitakuonesha ni nini hawa.


Ndipo malaika aliyesema nami akajibu, akaniambia, Hujui vitu hivi ni nini? Nikasema, La, Bwana wangu.


Nikasema, Ni kitu gani? Akasema, Kitu hiki ni efa itokeayo. Tena akasema, Huu ndio uovu wao katika nchi hii yote;


Nikajibu, nikamwuliza yule malaika aliyesema nami, Hawa ni nini, Bwana wangu?


Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.