Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 2:3 - Swahili Revised Union Version

Na tazama, yule malaika aliyesema nami akasimama karibu, na malaika mwingine akatoka ili kuonana naye;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yule malaika aliyezungumza nami akawa anamwendea malaika mwingine ambaye alikuwa anamjia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yule malaika aliyezungumza nami akawa anamwendea malaika mwingine ambaye alikuwa anamjia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yule malaika aliyezungumza nami akawa anamwendea malaika mwingine ambaye alikuwa anamjia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha malaika aliyekuwa akizungumza nami akaondoka, malaika mwingine akaja kukutana naye

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha malaika aliyekuwa akizungumza nami akaondoka, malaika mwingine akaja kukutana naye

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na tazama, yule malaika aliyesema nami akasimama karibu, na malaika mwingine akatoka ili kuonana naye;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 2:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nikamwuliza yule malaika aliyesema nami, Nini hizi? Naye akanijibu, Hizi ndizo pembe zilizowatawanya watu wa Yuda, na Israeli, na Yerusalemu.


naye akamwambia, Nenda mbio ukamwambie kijana huyu, na kusema, Yerusalemu utakaliwa na watu, kama vijiji visivyo na kuta, kwa sababu ya wingi wa watu na mifugo iliyomo ndani yake.


Na yule malaika aliyesema nami akanijia mara ya pili, akaniamsha, kama mtu aamshwavyo katika usingizi wake.


Ndipo malaika aliyesema nami akajibu, akaniambia, Hujui vitu hivi ni nini? Nikasema, La, Bwana wangu.


Ndipo yule malaika aliyesema nami akatokea, akaniambia, Inua macho yako sasa, uone ni kitu gani kitokeacho.