Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 3:2 - Swahili Revised Union Version

Ni wengi wanaoiambia nafsi yangu, Hana wokovu huyu kwa Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wengi wanasema juu yangu, “Hatapata msaada kwa Mungu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wengi wanasema juu yangu, “Hatapata msaada kwa Mungu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wengi wanasema juu yangu, “Hatapata msaada kwa Mungu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ni wengi wanaoiambia nafsi yangu, Hana wokovu huyu kwa Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 3:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi, Wanadamu walipotushambulia.


Wote wanionao hunicheka sana, Hunifyonya, wakitikisa vichwa vyao;


Kwa sauti yangu namwita BWANA Naye aniitikia toka mlima wake mtakatifu.


Wokovu ni wa BWANA; Baraka yako na iwe juu ya watu wako.


Enyi wanadamu, hadi lini utukufu wangu utafedheheka? Je! Mtapenda ubatili na kutafuta uongo hadi lini?


Muwe na hofu wala msitende dhambi, Tafakarini vitandani mwenu na kutulia.


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Wakisema, Mungu amemwacha, Mfuatieni, mkamateni, hakuna wa kumponya.


Ukatokea kwa ajili ya wokovu wa watu wako, Kwa ajili ya wokovu wa masihi wako; Ukakiponda kichwa cha nyumba ya waovu, Ukiuweka wazi msingi hata mwambani.


Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.


Uta wako ukafanywa wazi kabisa; Viapo walivyopewa kabila vilikuwa neno thabiti; Ukaipasua nchi kwa mito.