Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 3:2 - Swahili Revised Union Version

2 Ni wengi wanaoiambia nafsi yangu, Hana wokovu huyu kwa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Wengi wanasema juu yangu, “Hatapata msaada kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Wengi wanasema juu yangu, “Hatapata msaada kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Wengi wanasema juu yangu, “Hatapata msaada kwa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Ni wengi wanaoiambia nafsi yangu, Hana wokovu huyu kwa Mungu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 3:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi, Wanadamu walipotushambulia.


Wote wanionao hunicheka sana, Hunifyonya, wakitikisa vichwa vyao;


Kwa sauti yangu namwita BWANA Naye aniitikia toka mlima wake mtakatifu.


Wokovu ni wa BWANA; Baraka yako na iwe juu ya watu wako.


Enyi wanadamu, hadi lini utukufu wangu utafedheheka? Je! Mtapenda ubatili na kutafuta uongo hadi lini?


Muwe na hofu wala msitende dhambi, Tafakarini vitandani mwenu na kutulia.


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Wakisema, Mungu amemwacha, Mfuatieni, mkamateni, hakuna wa kumponya.


Ukatokea kwa ajili ya wokovu wa watu wako, Kwa ajili ya wokovu wa masihi wako; Ukakiponda kichwa cha nyumba ya waovu, Ukiuweka wazi msingi hata mwambani.


Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.


Uta wako ukafanywa wazi kabisa; Viapo walivyopewa kabila vilikuwa neno thabiti; Ukaipasua nchi kwa mito.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo