Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 127:5 - Swahili Revised Union Version

Heri mtu yule Aliyelijaza podo lake hivyo. Naam, hawataona aibu Wanaposema na adui langoni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Heri mtu aliye na mishale hiyo kwa wingi. Hatashindwa atakapokabiliana na adui mahakamani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Heri mtu aliye na mishale hiyo kwa wingi. Hatashindwa atakapokabiliana na adui mahakamani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Heri mtu aliye na mishale hiyo kwa wingi. Hatashindwa atakapokabiliana na adui mahakamani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Heri mtu ambaye podo lake limejazwa nao. Hawataaibishwa wanaposhindana na adui zao langoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Heri mtu ambaye podo lake limejazwa nao. Hawataaibishwa wanaposhindana na adui zao langoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Heri mtu yule Aliyelijaza podo lake hivyo. Naam, hawataona aibu Wanaposema na adui langoni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 127:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akaona wana wa Efraimu hata kizazi cha tatu; na wana wa Makiri, mwana wa Manase, walizaliwa magotini mwa Yusufu.


Kisha walizaliwa kwake watoto saba wa kiume, na binti watatu.


Watoto wake wako mbali na wokovu, Nao wamesongwa langoni, Wala hapana atakayewaponya.


Ndiye Mungu anilipizaye kisasi; Na kuwatiisha watu chini yangu.


Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.