Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 127:5 - Swahili Revised Union Version

5 Heri mtu yule Aliyelijaza podo lake hivyo. Naam, hawataona aibu Wanaposema na adui langoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Heri mtu aliye na mishale hiyo kwa wingi. Hatashindwa atakapokabiliana na adui mahakamani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Heri mtu aliye na mishale hiyo kwa wingi. Hatashindwa atakapokabiliana na adui mahakamani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Heri mtu aliye na mishale hiyo kwa wingi. Hatashindwa atakapokabiliana na adui mahakamani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Heri mtu ambaye podo lake limejazwa nao. Hawataaibishwa wanaposhindana na adui zao langoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Heri mtu ambaye podo lake limejazwa nao. Hawataaibishwa wanaposhindana na adui zao langoni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Heri mtu yule Aliyelijaza podo lake hivyo. Naam, hawataona aibu Wanaposema na adui langoni.

Tazama sura Nakili




Zaburi 127:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akaona wana wa Efraimu hata kizazi cha tatu; na wana wa Makiri, mwana wa Manase, walizaliwa magotini mwa Yusufu.


Kisha walizaliwa kwake watoto saba wa kiume, na binti watatu.


Watoto wake wako mbali na wokovu, Nao wamesongwa langoni, Wala hapana atakayewaponya.


Ndiye Mungu anilipizaye kisasi; Na kuwatiisha watu chini yangu.


Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo