Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 127:4 - Swahili Revised Union Version

4 Kama mishale mkononi mwa shujaa, Ndivyo walivyo watoto wa ujanani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Watoto waliozaliwa wazazi wakiwa bado vijana, ni kama mishale mikononi mwa askari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Watoto waliozaliwa wazazi wakiwa bado vijana, ni kama mishale mikononi mwa askari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Watoto waliozaliwa wazazi wakiwa bado vijana, ni kama mishale mikononi mwa askari.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kama mishale mikononi mwa shujaa ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kama mishale mikononi mwa shujaa ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Kama mishale mkononi mwa shujaa, Ndivyo walivyo watoto wa ujanani.

Tazama sura Nakili




Zaburi 127:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mishale ya mtu hodari iliyochongoka, Pamoja na makaa ya mretemu.


Wana wa wana ndio taji la wazee, Na utukufu wa watoto ni baba zao.


Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema,


Kwa maana juu ya Babeli nitaamsha na kuleta kusanyiko la mataifa makubwa, toka nchi ya kaskazini; nao watajipanga juu yake; kutoka huko atatwaliwa; mishale yao itakuwa kama ya mtu shujaa aliye stadi; hakuna hata mmoja utakaorudi bure.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo